Mwanzo
Habari kuu

Mwamuzi wa kike asimamia mechi ya wanaume Ujerumani
Bibiana Steinhaus amekuwa mwanamke wa kwanza mwamuzi kusimamia mechi ya Ligi ya Kuu ya Ujerumani, Bundesliga baada yake kusimamia mechi kati ya Hertha Berlin na Werder Bremen.
- Dakika moja iliyopita

Man City 5-0 Liverpool
Ushindi huu unakiinusha kikosi cha Pep Guardiola juu ya mahasimu Manchester United kwenye ligi
- 9 Septemba 2017

Manvir atamba katika mashindano ya magari Rwanda
Mkenya huyo amejiweka katika nafasi nzuri ya kunyakua ubingwa wa mashindano hayo.
- 9 Septemba 2017

Nadal kucheza fainali na Anderson
Rafael Nadal atacheza fainali ya michuano ya Us Open dhidi ya Kevin Anderson.
- 9 Septemba 2017

Michezo inayopigwa jioni hii ya Epl
Arsenal inaonana na Afc Bournemouth, huku Brighton & Hove Albion ni wenyeji wa West Bromwich Albion.
- 9 Septemba 2017

Guardiola asema hangewapa Arsenal Raheem Sterling
Meneja wa Manchester Pep Guardiola amesema hakukuwa na uwezekano wowote kwamba Manchester City wangemuongeza Raheem Sterling kwenye mkataba wa kumnunua mshambuliaji wa Arsenal Alexis Sanchez.
- 8 Septemba 2017

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 08.09.2017
Arsenal wana imani kwamba wataweza kufufua makubaliano ya kulipa £92m kumchukua kiungo wa kati wa Monaco na Ufaransa Thomas Lemar, 21.
- 8 Septemba 2017

Mbio za magari za milimani zaanza Rwanda
Mashindano ya mbio za magari ya Rwanda Mountain Rally yameanza kutimua vumbi dereva kutoka Kenya Manvir Singh akitarajia kushinda na kuwa bingwa wa Afrika.
- 8 Septemba 2017

Wachezaji tisa waliomshambulia mwamuzi Nigeria wapigwa marufuku
Wachezaji tisa na maafisa wawili wa klabu wamepigwa marufuku ya mechi 12 na 19 mtawalia kwa kuwashambulia waamuzi wakati wa mechi ya ligi nchini Nigeria.
- 8 Septemba 2017

Watoto walimsaidia Bony kurejea Swansea
Wilfried Bony amesema watoto wake wawili wa kiume walisaidia kumshawishi arejea Swansea City kwa sababu klabu hiyo "ni kama familia".
- 8 Septemba 2017

Fenerbahce wanamtaka Diego Costa
Fenerbahce wamefanya mazungumzo na wawakilishi wa mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa kuhusu uwezekano wa kumchukua kwa mkopo.
- 8 Septemba 2017

FIFA yataka mchezo kati ya Afrika Kusini na Senegal urudiwe
Shirikisho la kandanda la Kimataifa FIFA, limeamuru mchezo kati ya Afrika Kusini na Senegal uliofanyika Novemba 12 urudiwe .
- 8 Septemba 2017

Soko la wachezaji kufungwa mapema England
Klabu za Ligi ya Premia zimepiga kura na kuidhinisha soko la kuhama wachezaji lifungwe kabla ya msimu kuanza mwaka ujao.
- 7 Septemba 2017

Koeman amesikitishwa sana na Wayne Rooney
Ronald Koeman amesema "amesikitishwa sana" na mashtaka ya kuendesha gari akiwa mlevi ambayo yanamkabili mchezaji wake Wayne Rooney.
- 7 Septemba 2017

Sanchez atarejea kuwa hatari - Wenger
Alexis Sanchez hatatizika kurejea kucheza vyema katika Arsenal baada ya kutoridhika wakati wa kipindi cha kuhama wachezaji kilichomalizika wiki iliyopita, meneja wa klabu hiyo Arsene Wenger amesema.
- 7 Septemba 2017

Fifa yaamrisha mechi kati ya Afrika Kusini na Senegal kuchezwa tena
Mechi ya kufuzu kombe la dunia kati ya Afrika Kusini na Senegal itarudiwa tena baada ya refa aliyesimamiwa mechi hiyo kupigwa marufuku na Fifa
- 7 Septemba 2017

England kuivaa Slovania Oktoba mechi za fainali Kombe la Dunia
Mechi za kuendelea kusaka nafasi ya kucheza Fainali za kombe la Dunia mwaka 2018 zitaendelea tena mwezi Oktoba Raundi ya pili ya Makundi.
- 7 Septemba 2017

Tetesi za soka Ulaya Jumatano 06.09.2017
Manchester City kuna uwezekano mkubwa kwamba hawatawasilisha dau ya zaidi ya £20m kutaka kumchukua mshambuliaji wa Arsenal Alexis Sanchez, 28.
- 6 Septemba 2017

Wachezaji 47 wa Afrika wanaocheza Ligi Kuu England
Katika msimu wa 2017/2018 kutakuwa na wachezaji 47 kutoka nchi za Afrika wanaochezea klabu za Ligi Kuu ya England.
- 6 Septemba 2017

PSG walifumaniwa peupe wakihadaa kifedha
Tebas amesema klabu hizo zilitumia pesa ambazo hazikuwa zimetokana na shughuli za soka na kwamba hatua zinafaa kuchukuliwa kuzuia hilo.
- 6 Septemba 2017